![]() |
| Rais Salva Kiir |
Sherehe rasmi ziliahirishwa kutokana na vita na hali mbaya ya uchumi.
Bwana Kiir amesema imefika wakati wa kujifunza kutokana na makosa ya zamani na kuungana kuijenga Sudan Kusini.
![]() |
| Maelfu ya watu wamekufa, na mamilioni wamehama makazi yao, tangu mgogoro huo ulipoanza mwezi Desemba mwaka 2013. |


No comments:
Post a Comment