Monday, July 10, 2017

Qatar kudai fidia kutoka nchi zilizoitenga

Mji mkuu wa Qatar DohaNchi ya Ghuba ya Qatar imesema itadai fidia dhidi ya nchi zake jirani zilizoitenga nchi hiyo hasa kiuchumi.Nchi za Saudi Arabia, UAE, Bahrain na Misri zote zimekata mahusiano ya anga, ardhi na bahari na Qatar baada ya kuishutumu kuunga mkono makundi ya kigaidi.
 Qatar imekana madai hayo, na imeunda tume itakayoshughulikia malalamiko ya hasara iliyopatikana kwa kampuni zake pamoja na watu binafsi.
Qatar kudai fidia kutoka nchi zilizoitenga
Qatar kudai fidia kutoka nchi zilizoitenga                 
Walalamikaji hao wanaweza kuwemo shirika la ndege la taifa, ambalo limebidi kubadili njia licha ya awali kutumia anga za nchi jirani.

No comments:

Post a Comment

most viwed news

Uhuru na Lowassa waomba Wakenya kuvumiliana

Aliyekuwa waziri mkuu nchini Tanzania na mgombea wa urais katika chama cha upinzani Chadema katika uchaguzi uliopita Edward Lowassa amewata...