Baadhi ya wajumbe wa jumuiya ya serikali za mitaa nchini ALAT mkoa wa iringa wameelezea wasiwasi wao katika kikao cha Jumuiya hiyo kilichofanyika wilayani kilolo ambako baadhi ya madiwani akiwemo Mstahiki Meya wa manispaa ya iringa Bw Alex Kimbe wanabainisha ya kinachoweza kutokea endapo jambo hilo litabaki kuwa hivyo.
mwenyekiti wa ALAT mkoa wa Iringa ambaye pia ni mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa mafinga Bw Charles Makoga anasema pamoja na kupoteza mapato kwenye eneo hilo la ushuru wa mazao pia halmashauri zitegemee mtikisiko wa kukosa makusanyo kutokana na ushuru wa mabango kuhamishiwa TRA huku kodi za majengo nazo zikiendelea kukusanywa na mamlaka hiyo ya mapato.
Saturday, July 8, 2017
Marufuku ya ushuru wa mazao, Iringa waeleza wasiwasi wa msamaha huo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
most viwed news
Uhuru na Lowassa waomba Wakenya kuvumiliana
Aliyekuwa waziri mkuu nchini Tanzania na mgombea wa urais katika chama cha upinzani Chadema katika uchaguzi uliopita Edward Lowassa amewata...
-
Watu 16 wafariki kwenye ajali ya ndege Marekani Takriban watu 16 wamefariki kwenye ajali ya ndege ya jeshi kwenye jimb...
-
Vyama vya upinzani nchini Zimbabwe vimerejelea wito wao wa kutaka Rais Robert Mugabe mwenye umri wa miaka 93 ajiuzulu, na kumlaumu kwa k...
No comments:
Post a Comment