![]() |
| Erdogan amekuwa Rais wa Uturuki tangu mwaka 2014 |
Akihutubia katika maandamano hayo, kiongozi mkuu wa upinzani Kemal Kilicdaroglu, ameishutumu serikali kwa mfululizo wa kukamatwa na kufungwa kwa watu ikiwa ni matokeo ya jaribio la mapinduzi lililoshindikana mwaka jana.
![]() |
| Maelfu pia waliandamana kumpinga Erdogan alipotembelea Marekani hivi karibuni |
Rais Erdogan maandamano hayo yanaunga mkono ugaidi.


No comments:
Post a Comment