Monday, July 10, 2017

Maelfu waandamana dhidi ya Rais Erdogan Uturuki

Erdogan amekuwa Rais wa Uturuki tangu mwaka 2014
Erdogan amekuwa Rais wa Uturuki tangu mwaka 2014                 
Maelfu ya watu wameandama katika mji wa Istanbul nchini Uturuki dhidi ya Rais wa nchi hiyo Recip Tayyip Erdogan.
Akihutubia katika maandamano hayo, kiongozi mkuu wa upinzani Kemal Kilicdaroglu, ameishutumu serikali kwa mfululizo wa kukamatwa na kufungwa kwa watu ikiwa ni matokeo ya jaribio la mapinduzi lililoshindikana mwaka jana.
Maelfu pia waliandamana kumpinga Erdogan alipotembelea Marekani hivi karibuni
Maelfu pia waliandamana kumpinga Erdogan alipotembelea Marekani hivi karibuni                 
Amesema raia wa Uturuki wanaishi chini ya Udikteta.
Rais Erdogan maandamano hayo yanaunga mkono ugaidi.

No comments:

Post a Comment

most viwed news

Uhuru na Lowassa waomba Wakenya kuvumiliana

Aliyekuwa waziri mkuu nchini Tanzania na mgombea wa urais katika chama cha upinzani Chadema katika uchaguzi uliopita Edward Lowassa amewata...