Eneo hili ndilo la chuo na huu ni muonekano wa mabweni ya chuo hiki kabla ya zoezi hili la utekezaji lakini shimo hili ambalo linaelezwa kuchimbwa na chuo hiki kwa lengo la kutwamisha maji pindi mvua inaponyesha kwaajili ya matumizi ya kila siku ikiwemo kunywa ambapo kwa sasa linaoneka kukauka ndipo yalipoishia maisha ya Yusuph Ibrahimu aliyekuwa mwanafunzi wa hapa kutoka wilaya ya kondoa lakini pia maisha ya Saidi Mashaka kutoka eneo la Galapo wilaya ya babati yaliweza kuishia hapa na huyu ndiye mmiliki wa chuo hik ambaye nib wa Saad Suleiman mkaazi wa babati mjini.
Viongozi wa dini nao wakatoa maneno yao ikiwemo baraza la waisilamu Tanzania Bakwata wilaya ya Hanang juu ya kitendo cha uanzishwaji wa chuo hiki na utumikishwaji wa watoto.
Sara Msafiri Aly yeye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama katika wilaya ya hanang lakini ni mkuu wa wilaya hii.
No comments:
Post a Comment