Mbali na kueleza masikitiko yao zaidi wanaelekeza kilio hiki kwa serikali wakihitaji msaada.
Wananchi hawa wamepewa notis na shirika la reli Tanzania kuhakikisha wanavunja nyumba hizo ndani ya siku thelathini kabla ya kuchukuliwa hatua nyingine za kisheria.
Sakata hili la bomoa bomoa limeathiri maeneo mengi ya mkoa wa Tabora lakini kata zilizoathirika zaidi ni CHEYO, ISEVYA, KILOLENI , BACHU na MAPAMBANO zote zikiwa katika manispaa ya Tabora.

No comments:
Post a Comment