
Wanasayansi nchini New Zealand wameonyesha kwa mara ya kwanza kwamba chanjo inaweza kutoa kinga dhidi ya ugonjwa wa gonorrhoea.
Watafiti kutoka chuo kikuu cha Auckland wamegundua kuwa maambukizi ya ugonjwa huo wa zinaa yameshuka kwa takriban theluthi moja miongoni mwa watu ambao walipata chanjo dhidi ya homa ya manjano.
Watafiti hao wamefuatilia kutoka kwa vijana milioni moja waliopata chanjo hiyo pindi
kulipotokea ugonjwa wa homa ya manjano nchini New Zealand.
Gonorrhoea imekuwa taabu kutibika kwa sababu imezoea antibiotic.
Mwandishi wa BBC wa masuala ya afya anasema utafiti huu unaonyesha inawezekana kuwa na chanjo dhidi ya ugonjwa.
No comments:
Post a Comment